Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya misungwi anawatangazia wananchi nafasi za kazi mbalimbali kama ifuatavyo;
Position: Dereva Daraja La II – NAFASI 1
Sifa Za Mwombaji
Kuajiriwa wenye cheti cha mtihani wa kidato cha IV wenye leseni daraja C ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka (3) bila kusababisha ajali, wenye cheti cha majaribio ya ufundi Daraja II
Masharti Ya Jumla
Awe raia wa Tanzania
Awe mwenye maadili mazuri
• Hajafukuzwa kazi
• Hajapunguzwa kazi
• Hajafungwa na kupatikana na kosa la jinai
• Awe tayari kufanya kazi eneo lolote Misungwi bila kuhama kwa kipindi cha miaka 5
• Barua ya maombi iambatanishwe na picha (2) za sasa passport size na vivuli (photocopy) vya vyeti vya elimu na Taaluma
• Andika namba ya simu ya mkononi katika barua ya maombi ili kurahisisha mawasiliano
Mwisho wa kupokea maombi ni 30/05/2015 saa 9:00 alasiri
HOW TO APPLY:
Maombi yote yatumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa anuani ifuatayo;
Mkurugenzi Mtendaji (W)
S.L.P 20
Misungwi
Deadline: 30 May 2015
Home
Ajira Tanzania
DRIVER
Jobs in Tanzania
Jobs Tanzania
Nafasi za Ajira
Dereva Daraja La II – NAFASI 1
Saturday, May 16, 2015
Dereva Daraja La II – NAFASI 1
✔
Chief Editor
Published Saturday, May 16, 2015
Related Post
- TPB Bank PLC seeks to appoint dedicated, self-motivated and highly organized E-Banking Of
- Tanga Urban Water Supply and Sanitation Authority (Tanga UWASA) is competitively best
- SUNDA Tanzania Investment Co., LTDis a worldwide Company and headquarters in China with o
- Job Position: Customer Service Manager Job Type: Permanent Job Requisition ID:&nbs
- Duma Works is recruiting an IT Programmer for our client; a leading tour company in Arush
- The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) is an independent, world cla