Position: Assistant Accountant
Company: MOROGORO& MVOMERO TEACHER'S SACCOS
Deadline: Oct 30, 2013
Start Date: Oct 22, 2013
Position Description:
MWOMBAJI AWE NA SIFA ZIFUATAZO:
1. Mtanzania
2. Umri kuanzia 21 hadi 35
3. Elimu kidato cha nne na kuendelea
4. Awe amefaulu vizuri masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili
5. Awe na Elimu ya Uhasibu kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali
6. Ajue matumizi ya computer kwa ufasaha
7. Awe na uzoefu katika fani ya Uhasibu/ushirika
8. Awe amepata mafunzo ya huduma kwa wateja/ mahusiano ya jamii
9, Mweny taaluma ya ushirika atapewa kipaumbele
BARUA YA MAOMBI IANDIKWE KWA MKONO NA ITUMWE POSTA KWA ANUANI IFUATAYO:
MENEJA,
MOROGORO&MVOMERO TEACHERS SACCOS
P.O.BOX 2071
MOROGORO.
Application Instructions:
Barua ya maombi iambatanishwe na:
Nakala za: CV, Cheti cha kuzaliwa, Leaving certificates, Vyeti vya taaluma na Picha tatu za passport size
Tuesday, October 22, 2013
Assistant Accountant
✔
Chief Editor
Published Tuesday, October 22, 2013
Related Post
- The Ministry of Health and Social Welfare through National TB and Leprosy Control Program
- Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) invites applications from suitably qualified and in
- A leading Credit Support and Collateral Control company based in Dar es Salaam, Tanzania,
- KickStart International prides itself in being an award-winning, global nonprofit social
- Savings Banks Foundation for International Cooperation (SBFIC) specializes in internati
- On behalf of The Small Industries Development Organization (SIDO), Public Service R